UGONJWA WA AJABU UNAMTAFUNA HUYU MTOTO |VIPIMO HAVIONYESHI |AMELALA AKAAMKA AKAJIKUTA YUPO HIVI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2025
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848
  • СпортСпорт

Комментарии • 22

  • @soomalava1227
    @soomalava1227 31 минуту назад +1

    Mungu wetu mlinda uyu mja wako mponye nahamini una weza kumponya Nayeye afrai mbele zako mungu wetu ndokuna Aki nakuomba mungu wetu 🧘‍♂️🙏🙏🙏 nakuomba mungu mponye uyu mja wako najua wewe ni kwenye upendo kama kuna mkono wa mt basi ya merudie yeye Aliye fanya ivyo nakuomba mungu mungu wetu mponye uyu mototo Nayeye afrai ii dunia yako nzuli msaidie mondolee aya Mateso mrudishie tabasam yake Mbaliki nahamini mungu utatenda jambo Zuri kwa uyu mtoto asante mungu wetu kafanye machozi ya uyu mama na mwanae yakawe Frah asante mungu nahamini asana upendo wako na uwezo wako ushidwi kitu tenda upendo wako na uruma yako mahna wewe ni upendo na ushindi mpe frah mtoto uyu anae nakuomba mungu wa kweli ni wewe akuna wa kumweleza shida zake ila ni wewe 2 ndo baba ndo nguzo mpe uzima na amani yako asante mungu 🙏🙏🙏🙏

  • @SamirahassanrajabuHassanrajabu
    @SamirahassanrajabuHassanrajabu 2 часа назад +1

    Pole sana mdogowangu mungu akupe shifaa Inshaallah 🤲

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 9 минут назад

    Pole sana mtoto mzur apelekwe muhimbili akapimwe vipimo vikubwa atajulikana shida nini mungu akuponye haraka🤲

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 47 минут назад

    Pole Sana mama mtoto Mungu ampe shifaa 😢😢😢 mfungie kwenye neti kuepuka nzi

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 46 минут назад

    kakà Asante sana kaka

  • @JahedaSalmin
    @JahedaSalmin Час назад +1

    Duu pore sana mungu akuppnye 😢😢

  • @JanethUrasa-qs5ot
    @JanethUrasa-qs5ot Час назад

    Jaman pole sana Mungu akuponye

  • @RechoMzava-gt7so
    @RechoMzava-gt7so 13 минут назад

    Jamani mwanangu pole mtoto mzuri mungu atakupa uponyaji

  • @SalmaKhmisi
    @SalmaKhmisi 2 часа назад

    Duh pole sana

  • @NeemaLucas-x7y
    @NeemaLucas-x7y Час назад +1

    maskin majaribu haya😢😢😢😢😢

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Час назад +1

    Kaka zahry mshaur mamaake amfungie neti jmn nzi wanamsumbua akikaa akae ndani yaneti😭😭😭😭da mungu uyu

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 48 минут назад

    😭😭😭😭😭🙆🙆🙆

  • @shamzone388
    @shamzone388 56 минут назад +1

    Huyo mtt ataka kupelekwa hosp ya muhimbili afanyiwe vipimo vikubwa
    Mungu amstir amjalie apate dawa
    Nina shaka kubwa atakutwa na rheumatology lakini atapata dawa na atakuwa ok

  • @marthajosephdihimbwa2329
    @marthajosephdihimbwa2329 Час назад +1

    Kaka zahili mwambie mamaake amuwekege kwenye neti kwaajiri ya hao inzi wanao msumbuwa

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Час назад

    Dah mwili wote unasisimka jmn yaraby

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Час назад

    Hana sukari kweli?

  • @MariamMaliki-h1s
    @MariamMaliki-h1s Час назад

    Kaka zahiri labda huo niugwanjwa unaitwa uwatu ajaribu kuchukuwa maganda ya karanga unguze Hadi ya UNGA achanganye na mawesi awe anampaka huku anaenda na hospitali

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Час назад

    Tumbo limenikta fagra arafu umli wa mwanangu

  • @RitbayRitbay
    @RitbayRitbay Час назад

    Hyo maradhi dawa yke mti wa mrihan anaukosha vzr anautwanga anamtia vinakauka vyote biidhnillah. Alafu mm jamaa yng aliugua hvo yanatoka mpk wadudu nitakutumia dawa nyengine yakuponesha yanaitwa bedso

    • @shamzone388
      @shamzone388 Час назад

      Bedsore ni vidinda mtu anavyopata akiwa mgonjwa analala muda mrefu bila kujigeuza au mtu mwenye sukar

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 8 минут назад

      @shamzone388 hpaan ami yng hana sukar na kapata sio kulala tu maradhi yanakuja tu hyo ni bacteria mm ami yng mmenunua dawa Oman nikampelekea dawa zote zimemaliza lkn hzo mashaaallah

  • @NeemaLucas-x7y
    @NeemaLucas-x7y Час назад +1

    maskin majaribu haya😢😢😢😢😢